Wapiga picha za habari wa vyombo mbalimbali vya mkoa wa Morogoro wakiwa kazini wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la kitivo cha sayansi cha Chuo Kikuu cha Kiisalmu kilichopo katika mji huo uliokosa bahari tu. 

Mkoa wa Morogoro ni mmoja kati ya mikoa iliyo na vyombo lukuki vya habari ikiwa ni pamoja na TV pamoja na redio,  na vinavyotoa ushindani mkubwa dhidi ya vyombo vya habari vya Dar es salaam. Wa pili kulia mwenye kibandiko ndiye mdau John Nditi wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wapiganaji Poleni sana na kazi!

    Hebu angalieni uwezekano wa komba mpewe mavaiz ya 'bullet proof' (nguo zisizoruhusu risasi kupenya mwilini) ili muweze kufanya kazi kwa usalama zaidi.

    Sasa kama mtu unaweza kuomba umiliki wa Silaha kama Bastola kwa halali, itakuwa kuomba upewe nguo za Bullet proof?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...