Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa nyumba za waalimu katika shule ya Sekondari ya Mboga, iliyopo kata ya Msoga wilayani Bagamoyo le
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwelekeza  jambo Diwani wa Kata ya Msoga Bwana Mohamed Mzimba wakati Rais alipotembelea shule ya Sekondari ya Mboga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mboga kata ya Msoga leo wakati Rais alipotembelea shule hiyo leo kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba za waalimu shuleni hapo. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. mtu kwao fanya kweli ili ukitoka wakukumbuke umewafanyia nini

    ReplyDelete
  2. Hii inapendeza....sio unalisha wengine kwako wanalala njaa...Big up JK

    ReplyDelete
  3. Hivi vijana wa siku hizi hawajui hata kupiga goti moja wanaposalimiana na wakubwa au waheshimiwa?

    ReplyDelete
  4. wewe mdao hapo juu acha mambo ya kikoloni sasa upige goti ili iweje kwani ni mungu huyo ni binadamu kama ww tofauti yake yeye ni rais heshima siyo mpaka kupiga magoti hayo ni mambo ya karne ya 20 inaelekea ww mgoroko sana ndo watu mnaopenda kusujudiwa badilika...

    ReplyDelete
  5. Mabinti wanapendeza hapo safi kabisa

    ReplyDelete
  6. "Hivi vijana wa siku hizi hawajui hata kupiga goti moja wanaposalimiana na wakubwa au waheshimiwa?"

    Kuna tofauti ya print na video photo.

    Hiyo ni print photo. Unajuaje, labda hiyo gig ya piga goti ilikuwa imeishapita!

    Kwani lazima apige goti. AKIPIGA GOTI ATAISHI ZAIDI?

    ReplyDelete
  7. kupiga magoti mpaka ulaya ipo. Adabu kwa wakubwa wote

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...