Wasamaria wema wakisaidia kunyanyua pikipiki iliyogongo na Gari aina ya Rav 4 katika eneo la Namanga usoni kabisa mwa Mgahawa wa Best Bite jijini Dar es Salaam.Mwendesha pikipiki hii amenusurika 
Mashuhuda wakisiliza msala wa Mwendesha pikipiki hiyo na Mwanamama aliekuwa akiendesha Gari aina ya Noah ambaye alijaribu kuikwepa pikipiki ile na kuichuna kidogo rangi eneo na ubavuni.sasa hapo alikuwa akimtaka Mwenye pikipiki hiyo kumlipa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mpaka lini sie waendesha pikipiki tutapewa haki yetu??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...