Home
Unlabelled
Faida za Kujua kuvuta pumzi- Video fupi na freddy macha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Je unameditate pia na kula mboga mboga kwa sana?
ReplyDeleteasante sana Bro tuleete zingine tafadhali,nimashaanza kujaribu
ReplyDeleteBw. Macha natoa shukurani zangu za dhati kwa funzo hili la kupumua/kuvuta pumzi. Ni funzo muhimu, la lazima na la maana sana kwa kila anayeishi! Pia nakushukuru kwa lugha bora na fasaha ya kiswahili uliyotumia. (Japo Tanzania ndilo chimbuko na chemchemi ya kiswahili lakini kisemwacho na kiandikwacho ni aibu kwa taifa letu).
ReplyDeleteUkisilimu Fred hupati tabu kufunga swaum
ReplyDelete
ReplyDeleteBw. Macha ni maoni mazuri sana na mimi kama Cardiopulmonary Respiratory Therapist nimeipenda hii video. Pia mimi ni mwalimu wa Yoga nilisomea India. unapoongelea kusafisha pua, kawaida hiyo sio kusafisha pua, ni mazoezi muhimu na hatari kama ufati masharti yake katika mwili, hayo mazoezi yanaitwa "Pranayama" na una focus ktk pituitary gland, na kuna maelekezo mengi zaidi ya hayo. Na Pranayama hairuhusiwi kwa watoto chini ya miaka 10, itaweza kumdhuru ktk glandular system.
Asante Freddy kwa mchango wako.