Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Rais Dkt  Jakaya Mrisho Kikwete (katikati, mbeke)  akiwa katika picha ya pamoja na askari 30 aliowatunuku nishani mbalimbali, ikiwa ni moja ya shamrashamra ya kuadhimiasha miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ikulu, Dar es Salaam 
 Rais Kikwete  akiwa na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu Tanzania
 Rais Kikwete katika picha ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Tabia Njema
 Rais Kikwete katika picha ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu
 JK akiwa katika ya pamoja na askari waliotunukiwa Nishani ya Ushupavu
 Rais Kikwete akiwa na wajumbe wa kamati ya Nishani 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. yaani hapa hakuna hata mmoja kutoka ffu?!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...