NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI GEORGE M. MASAJU AFUNGA MAFUNZO YA SIKU TANO YA MAJADILIANO YA MIKATABA YA KIMATAIFA. MAFUNZO HAYO YALIWAHUSISHA MAWAKILI WA SERIKALI NA WANASHERIA WA WIZARA NA TAASISI MBALIMBALI ZA SERIKALI.
NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI GEORGE M. MASAJU AKITOA ZAWADI KWA MMOJA YA WAKUFUNZI WA MAJADILIANO YA MIKATABA YA KIMATAIFA KUTOKA DLA PIPER WAKATI WA KUFUNGA MAFUNZO HAYO
NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI GEORGE M. MASAJU AKIBADILISHANA MAWAZO NA WAKUFUNZI WA MAFUNZO YA MAJADILIANO YA MIKATABA YA KIMATAIFA KUTOKA DLA PIPER
NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI (WALIOKAA MWENYE SUTI) GEORGE M. MASAJU KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WAKUFUNZI NA WAHITIMU WA MAFUNZO YA MAJADILIANO YA MIKATABA YA KIMATAIFA. MAFUNZO HAYO YAMEFANYIKA KATIKA SHULE YA SHERIA TANZANIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...