Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. Mpinga (kushoto) akikabidhiwa Kitabu chenye maelekezo mbali mbali ya Usalama Barabarani na Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti (kulia). Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013 ambapo vilikabidhiwa vitabu 4,800.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. Mpinga” (kushoto) akionyesha Kitabu cha Usalama Barabarani kwa baada ya kukabidhiwa na Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” (kulia). Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013 ambapo vilikabidhiwa vitabu 4,800.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. Mpinga” na ‘’Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” wakijadiliana jambo wakati wa makabidhiano ya Kitabu cha Usalama Barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.
Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” (katikati) akielezea mambo muhimu jinsi Kampuni yake ya PUMA itakavyokuwa inashirikiana na jeshi la Polisi katika kupambana na Ajali za Barabarani kwa vitendo. Maneja huyo alitoa maelezo hayo mbele ya Maafisa wa Jeshi la Polisi na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wa makabidhiano ya Kitabu cha Usalama Barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. Mpinga” na ‘’Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” wakiwa katika picha ya pamoja kati ya wafanyakazi wa PUMA , Maafisa na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wa makabidhiano ya Kitabu cha Usalama Barabarani Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...