MAREHEMU STANLEY THOMAS MBUYA 
MPENDWA WETU STANLEY LEO UMETIMIZA LEO MWAKA MMOJA TANGU ULIOITWA NA MUUMBA WAKO KUTOKA DUNIA HII. MIOYO YETU BADO IMEJAA SIMANZI NA MAJONZI MAKUU KWA KUONDOKEWA NAWE.

ULIKUWA NGUZO IMARA KATIKA FAMILIA NA TUNAKOSA HEKIMA,USHAURI NA BUSRA PIA UONGOZI WAKO KWETU SISI.

DAIMA TUNAIOMBEA ROHO YAKO IPATE PUMZIKO LA AMANI TUKIWA NA MATUMAINI KWAMBA TUTAKUTANA TENA KATIKA UTUKUFU WA MUNGU MBINGUNI.UTAENDELEA KUKUMBUKWA NA MKEO NA WATOTO, BABA, DADA, KAKA, SHEMEJI, WAKWE, WAJOMBA, SHANGAZI, WANAWAWAMA, WANATOSA, WANA KVD, NA WANAJUMUIA WENZIO, MARAFIKI WA MAFIA, UKOO WOTE WA MBUYA, NDUGU NA MARAFIKI WOTE.

KUTAKUWA NA IBADA YA KUMWOMBEA MAREHEMU TAREHE 26 APRIL HUKO KILEMA KIMARORONI KUANZAIA SAA 6 MCHANA.

RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWAANGAZIE.APUMZIKE KWA AMANI!

AMINA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. A very hard working man he had a dream big one.truly entrepreneur. vizuri havidumu, pumzika kwa amani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...