Jenerali wa Magereza John Casmir Minja akiwa katika picha ya pamoja na baadhi  ya Maafisa wa Jeshi la Magereza waliopandishwa vyeo mbalimbali  katika ukumbi wa Bwalo Kuu la Magereza Ukonga. Zoezi la uvalishwaji vyeo leo baada ya kikao cha Tume ya Polisi na Magereza kilichofanyika jana chini ya uenyekiti wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Dkt. Emanuel J.Nchimbi (Mb)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. cheo chake ni kamishina jenerali, sio jenerali kama ulivyoandika!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...