Mkufunzi kutoka  Uingereza, Bw. David Wiggins, akiwaaga Maafisa Mawasiliano Serikalini (hawapo pichani) baada ya kumaliza  mafunzo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) .
 Hivi karibuni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari (MAELEZO) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uingereza nchini  imewapatia mafunzo ya  kuwajengea uwezo Maafisa  Mawasiliano kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali jinsi  ya kutumia mitandao ya kijamii katika kuimarisha mawasiliano. Mafunzo hayo yameendeshwa na  Taasisi ya Thomson Foundation na kugharamiwa na Serikali ya Uingereza. Pichani  Mkufunzi wa Mafunzo David Wiggins (katikati) akifurahia zawadi ya shati la kitenge baada ya kukabidhiwa na Afisa Mawasiliano kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Judith Mhina (kushoto ) kwaniaba ya wenzake, (kulia) ni Mkurugenzi  wa Idara ya Habari Assah Mwambene.
Maafisa Mawasiliano Serikalini wakiwa katika picha ya pamoja. baada ya kumaliza  mafunzo ya  jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii  kama facebook,twitter, flickr na blogs. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Seriously!!!!!!????

    ReplyDelete
  2. Why such a pertinent training requires expertise from outside the country, we will probably never know!

    ReplyDelete
  3. What? - Unbelivable!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...