MWanamama Abeti Masikini anakupa 'Likayabo' mambo ya manjano na mdalasini...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ankali,

    Ama kweli unatunyanyua ktk viti vyetu tulikuwa tumekaa na sasa tunacheza kavu kavu bula kuwa Ukimbini au Dansini kwa kuturushia hewani ndege wetu wa zamani 'Likayabo' Lizuma na Samaki, chumvi ma, pilipili ma, inakolela kushigo!,,,siku nitafika kwetu nitakula!!!

    ReplyDelete
  2. Hadi raha unavyonikumbusha enzi za Abeti Masikini na kiswahili chake cha kikongo.

    Amejitahidi lakini, alikuwa anakumbuka nyumbani na vitu anavyovikosa ugenini.

    ReplyDelete
  3. Hiyo ni kiswahili ya Kisangani DRC Abeti Masikini anaimba...ukifika Bukavu pia uzungumza... Naenda kuzuuza bunga kusoko...tz naenda kununua unga sokoni...Lubumbashi nao usema hivi...Nitakuponona...tz nitakupiga.

    Mdau in Sweden

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...