Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Inabidi tuanzishe adhabu ya viboko kwani hawa sidhani kama kina adhabu mbadara sasa badara yake inarudishwa mashuleni.na inabidi tukome kusema ajali imetokea sehemu fulani

    ReplyDelete
  2. Inaonekana hata aliyepiga picha hizi, hasa ya kwanza na ya pili yuko kwenye gari inayo "overtake" pasipo tahadhari. Labda alitakiwa amuelimishe dereva wake kwanza kabla ya kupiga hizo picha.

    ReplyDelete
  3. Dawa ya madereva dizaini hiyo ni kunyang'anya leseni asiguse usukani maisha!! Bora yeye atafute shughuli nyingine ya kufanya kuliko kupoteza maisha ya watu kizembe.Eti mtu kama huyo baada ya tukio na yeye utamsikia aah ajali haina kinga.Pia wawe wanachapwa bakora!!

    ReplyDelete
  4. kwa udereva wa namna hiyo ajali za barabarani hazitakwisha Tanzania. Magari zaidi ya nusu yote yamevunja sheria na kuvuka mistari inayozuiwa kuvukwa kama wanavyoonekana. na pengine hawajalewa sijuwi wakiwa wamelewa ndiyo inakuwaje?

    ReplyDelete
  5. Ijulikane kuwa katikati ya barabara msitari mweupe maanaake usiovateki, hiyo mistari miwili myeupe inazuia kuovateki kwa gari za kila saiti. msitari uliovunjikavunjika (------) manaake unaweza kuovateki kama ni salama. Huyo aliyepiga hii picha si lazima awe kwenye gari lililovunja sheria, inawezekana alikuwa kando ya barabara.

    ReplyDelete
  6. Lakini picha ya kwanza imewaruhusu ku overtake cz mstari wa hapana unayahusu magari ya upande wa kulia.

    ReplyDelete
  7. OOH Lord hata innocent msukuma mkokoteni yuko hatarini hapo bila kujijua.Nchi za watu sheria ya barabarani ni very very serious hivi kweli tunahitaji wazungu waje kutusimamia sheria kama hizi hatuziwezi?sasa hivi tuna elecronic driving licences zenye biometric data hivi nini kinashindikana kunyang,anya licence for life ili watu wajiheshimu.where is authority for that.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...