Majaji wakifuatilia ufunguaji wa Mkutano
 Majaji wakifuatilia ufunguaji wa Mkutano
 Majaji wakimkumbuka aliyekuwa Kamishna wa Tume ya Kurekebisha Sheria Marehemu Jaji Mstaafu Ernest Mwipopo wakati wa mkutano huo.

  Kamishna wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Albert Msangi akiwasilisha Taarifa ya Tume mbele ya Majaji
 Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Aloysius Mujulizi akifungua Mkutano wa Majaji kupitia Taarifa ya Tume juu ya Utafiti wa Mfumo wa Sheria Unaoratibu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania.
Picha na Munir Shemweta-LRCT

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...