Kamera ya Globu ya Jamii leo imemnasa Mdau huyu akikata kiu kwa kunywa maji kutoka kwenye bomba lililokuwa nikimwagilia maua kwenye moja ya bustani katikati ya jiji la Mwanza mchana wa leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ebwana eeh imenichekesha hii picha yani acha tu na mimi huku majuu NY manhattan kuna sehemu kuna chemchem ya maji yanatoka basi mbongo mimi nahangaika kutafuta kazi na vyeti vyangu huku na huku na nina budget so nikayaona maji nikarukia kujidai kama vile nayachezea kumbe zuga bwege nakunywa kinyemelea kiu kilinishika nasehemu ya kunywa maji sijaiona leo joto huku basi nikanywa bwana maji ya chemchem aisee maisha popote bwana mdogo na mimi pia majua nimekunywa maji ya bustanini ha ha ha

    poa sana michuzi

    ReplyDelete
  2. Mdau wa kwanza wa NY huko ulipo mnazo Health Insurance (Bima za Matibabu) afya ikiyumba kwa kuharisha utakwenda Hospitali.

    Sasa huyo Ngosha wa Pasiansi-Mwanza anayekunywa maji ktk Bustani yasiyo salama akiharisha atasaidiwa na nani?, wakati kilamkitu pesa?, ile tu kuchukua Kadi kabla ya kuonana na Dakitari pesa?

    ReplyDelete
  3. Wewe unakunywa maji yasiyo salama kwa ujinga wako mwenyewe.

    Ukiumwa na tumbo na kuharisha lawama zooote kwa Raisi wa nchi, Chama Tawala na Serikali!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...