Bibi harusi,Evelyne Julla akitoa tabasamu la nguvu na lenye furaha mara baada ya kuikamilisha ndoto yake ya kumpta mwenza wake wa maisha,Bwa.Alex Kusaga wa Clouds Media Group.
 Maharusi wakizifurahia pete zao za ndoa mara baada ya mapumziko mafupi kabla ya kuingia mnusoni jioni ya leo ndani ya hotel ya Serena jijini dar.
 Wakishoo love na mdogo wake Alex Kusaga,ambaye ni wifi ya bibi harusi.
 Maharusi wakionesha   vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga harusi ndani ya kanisa la St.Immaculata,Upanga jijini Dar.
 Maharusi wakila kiapo cha ndoa 
Maharusi wakiwa katika sura za furaha kabisa wakitoka nje ya kanisa mara baada ya kutimiza ndoto yao ya kuishi pamoja,baada ya hapo usiku huu mnuso uko ndani ya Serena hotel.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hongereni sana maharusi...

    ReplyDelete
  2. Gidion ObeidApril 28, 2013

    hongera sana Kusaga..karibu kwny maisha haya ya ndoa!

    Gidion Obeid

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...