Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju akimkaribisha Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ushauri kuhusu Masuala ya Rushwa ya Umoja wa Afrika (African Union Advisory Board on Corruption-AUABC), Prof. Adolphe Lawson mara baada ya kuwasili Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu  mpango wa kuanzishwa kwa Makao Makuu ya AUABC Mkoani Arusha, Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 19 Aprili, 2013.
Prof. Lawson akimweleza jambo Balozi Kasyanju wakati wa mazungumzo yao.
Prof. Lawson (kushoto) akiendelea na mazungumzo na Balozi Kasyanju huku Bw. Benedict Msuya (kulia), Afisa Mambo ya Nje katika Kitengo cha Sheria akinukuu mazungumzo hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...