baadhi ya wanafunzi wakifanya mafunzo ya ukocha kwa vitendo yaliokuwa yakiendeshwa na kituo cha International Insparation kanda ya kaskazini kwenye viwanja vya sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo yao wakiwa na nyuso za furaha baada ya kutunukiwa vyeti na katibu wa baraza la michezo la taifa Henry Lihaya kwenye uwanja wa Seikh Amri kalita Abeid (picha zote na Mahmoud Ahmad Arusha)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...