Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akiongoza kikao cha Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,katika utekelezaji wa kazi za taasisi hizo,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi,(kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abduhamid Yahya Mzee.
Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba,pamoja na Maafisa wengine wakiwa katika mkutano uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,chini ya Mwenyekiti Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika utekelezaji wa kazi za taasisi hizo,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame,(kulia) na Wakuu wa Mikoa ya Zanzibar na wilaya wakiwa katika mkutano uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mwenyekiti akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika utekelezaji wa kazi za taasisi hizo,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...