Kamishna wa Bunge la Tanzania Mhe Mau Daftari akikabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Katibu wa Bunge la wawakilishi la Australia Ndg. Bernard Wright Mara walipofika Ofisini kwake kumsalimu. Wengine katika Picha ni Mhe. Hamad Rashid Mohamed na Mhe. Abdukarim Shah ambo wote ni Makamishina wa Tume ya Utumishi wa Bunge. Ujumbe wa makamishna wa Bunge la Tanzania upo Nchini, Australia kwa ziara ya Mafunzo.
Kamishna wa Bunge la Tanzania Mhe Mau Daftari akikabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Katibu wa Bunge la Maseneta la Australia Dr.Rosemary Laing Mara walipofika Ofisini kwake kumsalimu. Wengine katika Picha ni Mhe. Hamad Rashid Mohamed na Mhe. Abdukarim Shah ambo wote ni Makamishina wa Tume ya Utumishi wa Bunge.Ujumbe wa makamishna wa Bunge la Tanzania upo Nchini, Australia kwa ziara ya Mafunzo.
Ujumbe wa Makamishna wa Tume ya Utumishi ya Bunge ukiwa katika picha ya Pamoja na watumishi wa Bunge la Autralia. PICHA ZOTE NA OFISI YA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...