Kila ifikapo siku ya jumamosi kama ya leo,Wakazi wa Mkoani Dodoma na wengine watokao sehemu mbalimbali hupenda kutembelea eneo hili la Msalato maarufu kama Mnadani kwa ajili ya kujipatia maakuli ya chama choma.Pichani ni mmoja wa vijana wanaohusika na uchomaji nyaka katika eneo hilo akiendelea na shughuli yake.
 Kila muuza Nyama huvutia wateja kwa namna yake,na huyu akionekana kunyanyua moja ya pende la nyama hizo kama anavyoonekana.
 Nyama ya Mbuzi ikiwa imepangwa tayari tayari.
 mzigo upo jikoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. mtu ni afya naomba wizara ya afya itazame usafi wa hizi nyama.

    ReplyDelete
  2. Afadhali mdau namba moja umetangulia kusema. Niliogopa wapenzi wa nyama choma wasijenivamia, lakini lile eneo halina usalama kiafya hata kidogo.

    Vumbi kwa wingi hata sijui watu wanafuata nini pale.

    ReplyDelete
  3. hapo ni mbuzi kwenye gunia. hahahaaa. kambwa kalikua kadogo..

    ReplyDelete
  4. nani kachinja mkristu au muislamu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...