Kikosi Kamili cha timu ya soka ya Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mcherzo wa na Gymkhana jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya mabao 3-3
Kikosi cha timu ya soka ya Gymkhana.
Mshambuliaji wa timu ya soka ya NSSF, Patrick Gandye akiwania mpira huku akizongwa na beki wa timu ya  Gymkhana,  Hayssam Srour.
 Clementi Sanga akiambaa na mpira huku akifuatiliwa kwa karibu na mchezaji wa NSSF, Kitwana Kidatu.
 Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF wakifuatilia mchezo huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...