Home
Unlabelled
MUNGU IBARIKI AFRIKA WARINDIMA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA NNE WA KENYA UHURU KENYATTA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona kawaida sana, nilikua na classmate wangu ambaye ni mnaigeria huku ughaibuni wakati bado nipo chuoni, alikua anaimba wimbo huu japo alikua akitafuna maneno kwakua hajui kiswahili na nilipomuuliza aliujulia wapi akaniambia wamefundishwa akiwa shuleni.Ikumbukwe nyimbo hii na baadhi ya alama za kiafrika zilikua zikitumika kwa pamoja ktk miaka ya sitini ya uhuru kwa nchi za afrika
ReplyDeleteHuu wimbo ni Wimbo wa Afrika, sema Tanzania unatumika kama wimbo wa Taifa,kwa kila nchi wanauimba kwa lugha yao, nimeona Watswana wanaimba na kama umewahi angalia filamu ya Steve Bico wakati akizikwa uliimbwa kwa kizulu, tune zipo sawasawa nchi zote
ReplyDelete