Prof Yash Ghai kutoka Kenya akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kamati maalum ya katiba ya kituo cha sheria na haki za binadamu.
wanakamati wakisikiliza salamu za ukaribisho na ufunguzi kutoka kwa Mkurugenzi wa Maboresho na Ushawishi wa Kituo cha sheria na Haki za Binadamu,wakili Harold Sungusia.
Wanakamati wakipiga makofi kushangilia uzinduzi huo rasmi wa kamati maalum ya katiba ya kituo cha sheria na haki za binadamu.
Baadhi ya wanakamati wakiwa nje ya ofisi za Kituo cha sheria na haki za binadamu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...