Ngoma ya 'Embakasi' ya Les Mangelepa lazima italiza wengi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Asante kaka. Nimekumbuka mbali sana.

    ReplyDelete
  2. Mheshimiwa nashukuru pia naomba kama utaweza Unisaidie wimbo wa Hamza kalala, Ngozi ya Kitimoto huwa nautafuta sana ukiweza nisaidie, niwe nakumbuka kumbuka Nyumbani

    ReplyDelete
  3. Ankal ! asante sana umetukumbusha kikosi hiki enzi zao akina Kabila kabanze, Bwaby wa Lumona n.K
    wadau ffu

    ReplyDelete
  4. Mkuu Ankal wakongwe hawa enzi zao akina Mutonkole Longwa Didos, Lovy Longomba, Wa Bukasa Bukalos, Rapok Kayembe Miketo,Kassongo Songoley, Lobe Mapako, Dodo Dorris,Katele,Bwamy,vivi N.K we acha tu
    wadau
    ffu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...