Naibu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis Mdee akikabidhi vifaa na dawa zitakazotumiwa na madaktari hao kwa muda wa siku saba kwa uongozi wa Mkoa.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Ramadhan Maneno akifungua rasmi mpango wa NHIF wa madaktari Bingwa kutoa huduma katika Hospitali ya Rufaa Maweni.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Leonard Subi akitoa neon la shukrani kwa NHIF kwa uamuzi wa kupeleka wataalam hospitalini kwake. 
Uongozi wa Mkoa, NHIF na madaktari bingwa wakiwa katika picha ya pamoja tayari kwa kuanza kazi ya kuona wagonjwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wanaume wa Kiafrica always hamko gentle. Utaona wakati picha zinapigwa wanawake wanasukumwa nyuma na kwenye nyasi kama inavyoonekana hapo juu. hili nimeliona kwenye picha nyingi yaani hakuna ile kuwa gentleman na kusema mwanamke sogea hapa nikupe nafasi kwanza. Hata kwenye vyakula na mambo mengine wanaume mko wabinafsi sana. Mdau, CA, USA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...