Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi ya
Kimataifa ya Utafiti wa Kilkimo (IITA) yenye Makao Makuu nchini Kongo
Dk.Nteranya Sangiinga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na ujumbe wake
leo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa
Kilkimo (IITA) yenye Makao Makuu nchini Kongo Dk.Nteranya
Sangiinga,(aliyesimama) akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa
mazungumzo akiwa na Ujumbe wake Ikulu Mjini Zanzibar leo. [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...