Afisa wa Ubalozi wa Tanzania China Matilda Masuka akiongea katika
       Roadshow hiyo iliyohusu utangazaji wa utalii wa Tanzania nchini China.

                  Umati wa Wachina wakisikiliza mada mbalimbali kuhusu utalii wa Tanzania jijini Beijing China
          Sehemu ya wachina wakifuatilia mada  za utalii wa Tanzania kwa umakini.
                  Balozi wa Tanzania China Philip Marmo akiongea katika Road show hiyo jijini Beijing China.
 Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii nchini Dk. Aloyce Nzuki akiwa

       kazini pamoja na mkalimani wake kuhamasisha wachina kufika nchini.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nuru Millao 
       akihamasisha Wachina kuja nchini kutalii.
Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hawajatangaziwa tu wamejaa mitaani, sembuse kwa kutangaziwa! Tusubiri miaka mitano ijayo uone population inavyogawanyika na wachina....

    ReplyDelete
  2. Ila tuweni makini sana jamani na NYARA zetu za TAIFA maana hawa mabwana huku kwao wanakuambia hata tembo wote waishe AFRICA demand ya pembe za TEMBO itakuwa bado hiko juu sana. Yaani nyara zote mpaka MIJUSI TUIANGALIE NA TUILINDE watatutia umasikini hawa watu, kikubwa iwepo sheria kali tu atakayekamatwa na nyara za serikali adhabu ni kunyongwa tu .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...