Keki maalum ilyoandaliwa kwenye maandimisho ya miaka 49 ya Muungano wa Tanzania
 Balozi Philip Marmo akiteta jambo na mmoja wa wageni walialikwa kwenye sherehe hiyo.
Wanakikundi cha Ngoma toka Tanzania Sisi Tambala wakitumbuiza kwa wimbo wao maarufu wa 'Katope' kwenye sherehe ya Muungaano.
Picha na mdau Leah Mushi wa TBC1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...