Home
Unlabelled
TOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nyerere hakuliasisi taifa la Tanzania peke yake, alishirikiana na Karume katika kuasisi hivyo Tanzania ina waasisi wawili.
ReplyDeleteKumuita muasisi tu hakuleta picha sahihi, kwa nini asiitwe muasisi mwenza?
duuh hapa naona kama baba wa taifa anamshangaa Mobutu anavyojisifia kwa Castro..na Kaunda kama vile anaona hii noumer kwa Castro jamaa mweusi mwenzetu anavyojisifia mambo ya kipuuzi, c unajua tena akina baelezee kwa majigambo yao ya kijingajinga....
ReplyDeletemajina yenyewe tu ni majigambo ya kutosha,jamaa alikuwa na hela si mchezo?
ReplyDeleteMobutu hapa alikua akijaribu kujisafi
ReplyDeleteunafiki wake,kwani alikua ndimi la kuwili,na masaliti wa ukumbuzi wa nchi za kusini mwa afrika enzi zile
Hivi Ninyi Wadau Mnaotoa Maoni...Mnakuwa na Chuki Binafsi na Watu,MnajiFanya WaTaalam Wa Kurekebisha Wenzenu Au Wenzetu Ndio BiNaadam Mliokamilika Hamna Makosa..?!..Wekeni Maoni Kama Binaadam Wenye Akili Timamu...?!
ReplyDelete