Mwakilishi
maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Masuala ya Kisiasa
nchini Somalia Balozi Dr. Augustine Mahiga (Kushoto) akizungumza na
waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo ametoa wito kwa nchi za
Afrika mashariki kuichukulia Somalia kama taifa lingine lolote na kulipa
ushirikiano kwani kwa sasa lina amani na utulivu tofauti na watu
walivyokuwa wakilifikiria. Kulia ni Msemaji wa Ofisi ya UN
inayoshughulikia suala la Somalia Nick Binback.
Home
Unlabelled
UMOJA WA MATAIFA WAZITAKA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI KUTOA USHIRIKIANO KWA SOMALIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...