Mhe Waziri Bernard Membe, leo amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Hayati Magreth Thatcher.
Mheshimiwa Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Dianne Melrose alipowasili Ubalozini.
Waziri Membe akizungumza na Balozi ea Uingereza nchini Tanzania,Mhe Diane Melrose baada ya kusaini kitabu cha maombolezo.
heshimiwa Waziri Membe akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Uingereza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...