Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. Milioni 10 kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara za Serikali NMB, Domina Feruzi kwa ajili ya wahanga wa bomu lililotokea hivi karibuni katika Kanisa la Mtakatifu Joseph ikiwa ni msaada wa benki ya NMB.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimshukuru Meneja Mwandamizi wa Masoko na Chapa NMB Rahma Mwapachu baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. Milioni 10 kutoka NMB kama msaada kwa wahanga wa bomu Arusha.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...