![]() |
Bondia Thomas Mashali (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Cheka katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam jana. |
![]() |
Shomari kimbau akiwa na Cheka baada ya kumvisha ubingwa wa IBF Africa aliokuwa akiutetea |
![]() |
Kutoka kushoto ni Kocha wa mchezo wa ngumi Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' mdau ambaye ajajulikana jina Mtayalishaji wa mpambano kati ya Fransic Cheka Vs Thomasi Mashali,Adamu Tanaka 'Tunaluza' na MC wa mpambano huo COOL.Picha na Super D Blog |
Mi
ReplyDeletestew, put this thread please:
Ajajulikana&@%& WHAT???, HAJAJULIKANA.
Mtayalishaji&@% WHAT???, should have been MTAYARISHAJI.
HIVI WATOTO WAS SIKU HIZI HAWAFUNDISHWI KISWAHILI MASHULENI?
MDAU,MAMTONI > 25 YEARS.
Tangu mwanzo ilijulikana kwamba bondia huyu sio size ya Cheka, ilikuwa sawa na Yanga Vs Toto ya MZA!!
ReplyDeleteHuwa nacheka sana ninapoona huyu jamaa anavyopenda kujifagilia eti kocha wa ngumi wa kimataifa!!!hana hata wasifu mmoja wa kumfundisha bondia yeyote aliyepata mafanikio katika tasnia ya ndondi.
ReplyDeleteKocha gani ana kitambi
ReplyDelete