Umahiri wetu wa lugha umeanza kudidimia. Si tu lugha za kikabila, pia Kiswahili na Kiingereza. Njia moja ya kujiendeleza ni kusoma na kusikiliza mashairi na fasihi... Freddy Macha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2013

    Asante kwa mchango wako ktk kuwahimiza waTZ kukisoma na kukipenda kiswahili.

    ReplyDelete
  2. Beti tatu si utani, menisuuza mutima,
    Vina na yake mizani, kwa fasaha kavipima,
    Maudhui yake ndani, wenye akili yapima,
    MLOKA sio utani, nakutolea heshima!

    Kweli sione hadhani, akilini kuyapima,
    Mbivu mbichi ubaini, na changa sijezichuma,
    Ujuwe yupi ni "Nyani', sije changanya na "Kima",
    Yana yake burudani, mashairi kiyasoma.

    Mbali ya kuweza kuboresha lugha yetu, hebu muwe mnatuwekea vitu kama hivyo (Mashairi), alau tuwe tunakonga nyoyo zetu sometimes. Shukran sana Freddy Macha.




    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...