Katibu wa CCM, Aluu Segamaba akiongoza viongozi wenzake kukagua daraja la Rau linadaiwa kujengwa kwa kutumia kiasi cha sh. milioni 102, lililokatika kabla ya ujenzi wake kukamilika, viongozi wamelikataa daraja hilo.
Daraja la Rau lililojengwa na Manispaa ya Moshi na kukataliwa na timu ya Viongozi wa CCM wa wilaya hiyo katika Ziara ya kukagua miradi ya serikali inayotekelezwa na Manispaa hiyo.
Sehemu la Daraja la Rau, lililoko katika manispaa ya Moshi, Mkoani Kiliamnajro lililokataliwa na Viopngozi wa CCM wilaya ya Moshi katika ziara ya kukagua miradi ya manispaa Moshi ili kujiridhisha kama miradi inayoendeshwa na Manispaa hiyo ianendena na kiwango kinachotakiwa.Picha na Fadhil Athuman

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2013

    Kitabu cha mlimani hicho

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 16, 2013

    uchakachuaji tayari hapa na matokeo yake ndo hayo tunayoyaona

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 16, 2013

    Duuuuh! Mkuu ahsante sana hiyo ndo njia ya kwenda kwetu. Loh!!

    Malisa

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 17, 2013

    Million zaid ya mia moja lakini daraja ni limejengwa kwa tope!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 17, 2013

    The Managing Director and other officials of the Municipal should be sacked!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...