Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na wakuu wa mikoa mbalimbali waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na marafiki wa maendeleo na wafadhili waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wazalishaji vyakula na vinywaji mbalimbali waliohudhuria
Mama Salma Kikwete akimpongeza Mama Maria Nyerere kwa kupokea tuzo kwa niaba ya Baba wa Taifa katika kutambua mchango wake katika kuendeleza lishe katika sherehe za uzinduzi wa kampeni ya Lishe Bora leo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...