Mchezaji
wa Pool wa Chuo cha KCMC, Kim Kunthea akicheza dhidi ya mpinzani wake
Idrisa Juma wa Chuo cha KCMC wakati wa fainali za mashindano ya Safavri
Lager Higher Learning Pool Compitition 2013 mchezaji mmoja mmoja
(Singles) Mkoa wa Kilimanjaro.
Wachezaji wa timu ya Chuo cha Institute of Accountant of Arusha (IAA) wakishangilia na kitita cha sh.500,000/= ikiwa ni zawadi mara baada ya kuibuka mabingwa wa mashindano ya Safari Lager Higher Learning Pool Compitition 2013 Mkoa wa Arusha.
Wachezaji wa Mchezo wa Pool,Winfrida Mponzi kutoka Chuo cha MUCCOBS na Aluiya Herode kutoka Chuo cha SMMUCO wakishindana kulagi wakati wa mashindano ya Safari Lager Higher Learning Pool Comitition 2013 Mkoa wa Kilimanjaro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...