Meneja wa DAB barani Afrika, Carlo Fuccella (kulia)
akishikana mkono na Mkurugenzi wa Trans Africa Water nchini,Tony Mwangi mara
baada ya kuitangaza kampuni yake kuwa wazambazaji wakuu wa bidhaa zao hana
nchini wakati wa hafla iliyofanyika Dar es Saalam jana.
Meneja wa DAB barani Afrika, Carlo Fuccella, Mkurugenzi
wa Trans Africa Water nchini,Tony Mwangi na wafanyakazi wa Trans Africa Water
wakiwa katika Picha ya Pamoja mara baada ya kuitangaza kampuni hiyo kuwa
wasambazaji wakuu wa bidhaa za DAB Dar es Saalaam jana.
Baadhi ya Wageni waalikwa wakisikiliza hotuba ya Meneja
wa DAB barani Afrika wakati wa kuitangaza Kampuni ya Trans Africa Water kuwa
wasambazaji wakuu wa bidhaa zao Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...