Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwasalimia viongozi wa Chama alipowasili uwanja wa Ofisi ya CCM KIsiwandui Mjini Unguja kukiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halamashauri Kuu ya CCM Taifa,katika ukumbi wa CCM KIsiwandui leo,(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, na Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,(kushoto).
Baadhi ya Wajumbe wa Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa,wakipitia agenda mbali mbali za kikao hicho kinachoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa mikutano wa CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo.
Baadhi ya Wajumbe wa Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa,wakipitia agenda mbali mbali za kikao hicho kinachoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa mikutano wa CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...