Home
Unlabelled
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MHE SHYROSE BHANJI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
happy birthday baby rahman akujaze kila lenye na kheri na wewe na barka tele hapa duniani na kesho akhera, akupe siha njema na yote mema amin thats my dua to you najua hunijui lakini nimeamua tu kuku wish happy birthday salaam kutoka New York manhattan
ReplyDeleteMi-Stew hembu niunganishe na huyu binti, "mzee mwenzangu huyu", mie naMmaindi sana, katulia kwelikweli, mweeee.
ReplyDeletemuheshimiwa heppi basdei mungu akupe umri mrefu kwani umri wako wa miaka 23 ni mdogo sana akuongezee mara sita yake na akupe afya nzuri pamoja na familia yako.
ReplyDeleteamin
mdau.
iringa.
I will never EVER call anyone MUOSHAMIWA, binadamu wote ni sawa, FACT.
ReplyDeletehbd
ReplyDeleteHepi bethdei mwayego usijali wasemao ovyo wewe ni mheshimiwa tu na binadamu wote si sawa, asikuharibie sikukuu yako buree.
ReplyDeletemjomba michuzi , nimepata ukakasi kidogo kutokana na maneno uliyoyatumia hapo juu"hepibesdei ya kuzaliwa", nionavyo mimi si sahihi mana ni kama maneno yote yanaelekea kumaanisha kitu kimoja, japo moja limetoholewa kutoka lugha ya kingereza yaani Hepibesdei. hebu tukipende kiswahili chetu, nadhani rekebisha na andika FURAHA YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA- wako Bwana SALIM, CHINA.
ReplyDelete