Two rooms for which one is master suite lounge/dinning area and kitchen.
Additional Out Buildings
Stand-by-generator, surrounding fence and water reserve facilities.
Appliances included.
Air-condition, cooker-electric & gas, fridge/freezer, internet connection, Jacuzzi,luku/electric meter, microwave oven, television and water heaters.
Features
Fully furnished, electricity-mains supply, aluminum windows frames.
- Price: $800 Per Month
- Type: Rent
- Bedroom: 2
naomba mnikumbushe hivi ni kwanini Tanzania tunatumia fedha za kigeni katika nchi yetu kulipia ada, kodi n.k? sielewi!!??
ReplyDeleteMimi ni mdau wa blog yako anko Michuzi ,kwa kweli mimi hainiingii akilini bei ya kupanga hii nyumba thamani ya dollar 800 na nyumba hii inaonyesha imechoka tuu wala haina hadhi ya hiyo fedha.Mimi ni mdau ambaye ninaishi hapa Germany ,kwa kweli hii bei ni kubwa hata kushinda huku ,je ni mtanzania gani ambaye atapanga hapo? Kama mtu anafanya kazi kiahalali kwa mishahara ya huko sidhani kama inawezekana.Je kwa nini bei ya nyumba hii isiwekwe kwenye thamani ya TSHs?Kwa kweli inasikitisha sana kuona mifumuko ya bei kwa kipindi cha hivi karibuni yaani ina maanisha shillingi imeshuka thamani kwa sana na kuna Inflation kubwa sana na kama serikali isipokuwa makini kuthibiti mifumuko ya bei ,watakaopata taaabu ni wananchi wengi ambao ni masikini.Mdau ughaibuni
ReplyDeleteNaomba mtu anijulishe
ReplyDeleteVipi dola ndio pesa ya Tanzania sasa?
HIVI WEWE MUULIZA SWALI WA KWANZA NI MWENDA WAZIMU? HIVI WEWE UNAISHI WAPI HAPA TANZANIA? KAWAULIZE WANA UCHUMI NDIO WATAKUPA JIBU MUAFAKA!
ReplyDeleteHIO NDIO BONGO HIVI HUJUI HATA BARACK OBAMA ANAKUJA TANZANIA KWA AJILI YA KUTUKUZA DOLLARS
USICHEZE NA DOLLARS WEYE!
Huyu aliyetoa tangazo hili akili yake haijatulia. Muonekano wa nyumba na vitu alivyoeleza haviendani na bei ya kukodi aliyoweka hapo..Pia haieleweki hizo ni pesa za nchi gani..alama $ humaanisha Dollar bila kujali ni ya nchi gani..inaweza kuwa ya Hongkong,Zimbabwe,Singapore,Namibia,Fiji n.k...Amekariri tu kama ilivyo kawaida ya watanzania kukariri tu bila kuelewa mambo.Aibu sana.
ReplyDeleteHuu ni mtego wa ndege,haukuwekwa kakamata samaki.Samaki hapa ni watanzania na ndege ni expatriates. Waachie wanyonyolewe nywele na wabongo nendeni buguruni.
ReplyDeleteMchangiaji wa mwisho si kosa lako. Ni upeo mdogo. Dola 800 ni nyingi sana hasa kwa nchi kama Tanzania. Flat ya dola 800 kwa nchi kama South Africa ni zaidi ya hiyo nyumba iliyoonyeshwa hapo.
ReplyDeleteNahisi uliyemjibu swali wa kwanza(wee wa tatu) hujaipandisha economics!
ReplyDeleteUsijisifie raisi wa ugenini kuja Tz. Huyo ni mwana siasa na akija mtajipanga kumshangilia kama kawaida yenu. Siasa sio sawasawa na uchumi kama unaelewa dear! Hiyo nyumba haifai labda dola mia mbili tajibana kwa kuwa najua Tz haielewi uchumi. Tanzania inajipangia bei since it's free market economy mixed with socialism. FIGURE OUT!
Hahaha...huwa nacheka kila siku michuzi anavyotufurahisha kwa kuposti advert kama hizi...Michuzi anataka mucheke munenepe. Unadhani yeye huwa hafi kwa kicheko anavyotumiwa hizi advert? Hiyo nyumba hata bure sichukui..Kama inavitu vyote alivyo taja kwanini landlord asiweke picha tuone wote...Na nyie hapo juu mnabishana kwa vichekesho kama hivi je mkiwa wabunge si mtarushiana ngumi na kufumuliana risasi bungeni.
ReplyDeleteWewe kama huna hizo senti nenda katafute pengine tuachie wenyewe. Unajua eneo hilo ni la watu wenye hadhi zao halafu unataka upange kwa 20 USD kwa mwezi!
ReplyDelete