Globu ya Jamii inatoa mkono wa hongera kwa mwanalibeneke wa mitindo kupitia http://www.8020fashionsblog.com/ Bibie Shamim Mwasha a.k.a Shamim Zeze kwa kufunga ndo leo huko Mji Kasoro Bahari na mai hazbendi wake Bw. Abdul. Hongera dada na Mola awape maisha mema na ya furaha!
Kuonja Aqdi yake ilofanyika Morogoro leo BOFYA HAPA
Kuonja Aqdi yake ilofanyika Morogoro leo BOFYA HAPA
Hongera Shamimu. Ni jambo jema, Mungu awabariki.
ReplyDeletehongera shamimu ingawa umetunyima ubwabwa huku Dar.
ReplyDeleteMashaAllah
ReplyDeleteHongera Shamimu manake watu walikuwa wanasema ati ni lezibiani kumbe hakuna.
ReplyDelete