Meneja Mkuu wa Kampuni ya Dun & Brandstreet Credit Bureau Limited Adebowale Atobatele akiongea wakati wa semina ya maofisa wa benki na taasis za fedha uliofanyika Dar es Salaam May 3 2013. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Limited Miguel Llenas.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia warsha hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Limited Miguel Llenas akiongea na waandishi wa habari Dar es Salaam Aprili 3 2013 wakati wa semina ya wa semina ya maofisa wa benki na taasis za fedha. Kushoto ni kuhusu Meneja Mkuu wa Kampuni hiyo, Adebowale Atobatele.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...