Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2013

    benja mbona mpole leo hahaa

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2013

    Hata USA wanamuziki wananyonywa, wengine wanatoa rushwa ya ngono, na wengi wao wanaishia kufa wakiwa masikini hususan hawa weusi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2013

    Hongereni kina dada kwa kuongea ukweli mtupu wa hali halisi ya watanzania wengi wanavyodhulumiwa pesa zao! Jamani dada uliyevaa brown nimekupenda kuongea ukweli. Sasa niwaambieni hizo dhuluma sio tu kwenye tasnia ya usanii, ni kila sehemu kweli kabisa watanzania ni wezi mnooooooooooo! tena wanaodhulumu ni hao hao wakubwa. Jamani mnasafariri kwenda workshop mnaambiwa pesa mtalipiwa huko mtakavyozungushwa kama pia tena ni workshop labda hata za kisayansi nk. Kwa hiyi huo wizi kwa Tanzania ni very common kwenye sekta zote tu mbona! Mungu aiponye Tanzania mana nimecomment kabla hata sijamaliza kusikiliza mpaka mwisho, embu niendelee kuwasikiliza.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2013

    kwakweli leo mmenifurahisha mno, endeleeni na mwendo huo huo.
    vichekesho na maujumbe ya kweli pia.
    lakini nyie kina baba inakuwaje mnaona aibu (miwani) na kina dada wala hawajifichi?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2013

    Kidogo The Light is coming kwenye kijiwe chenu..hawa wakina dada wamegusa sehem muhim sana za maisha ya wasanii wa nyumbani..Keepin' it up with Kijiwe..

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 14, 2013

    Hiwe ! Ruge Mutahaba Wabonaki!
    Unavisikia vijembe hivyo?
    wanataka urudi bukoba ukabake senene

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2013

    hi sasa nyie akinadada mbona mnatuchafulia mambo sisi maporomota?
    wenzenu tunaishi kwa mitaji ya wasanii wetu wajinga waliwao

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 15, 2013

    Ruge wabonaki wahitu ,unawasikia hao kijiweni wanania ya kuharibu kazi,eti wanawaamsha wasanii wetu ,sasa wewe ukale wapi?

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 15, 2013

    Kiboko ya benja mama salma, vile vibao unavyosema vinawatoka! Ukijaribu kwa mama salma moto utauona,niceshow

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 15, 2013

    Asanteni saaana, mmenikumbusha nyumbani na kuona jinsi watu walivyo na furaha na wanavyocheka kwa dhati. Dada mmoja mweupe aliniambia ninyi waafrika munajuwa kucheka bwana.
    Kweli waafrika tu watoto wa Mungu. Shida nyingi lakini furaha tele.

    Mapromota tendeni haki kwa wasanii.
    Mkijuwa kuwa dhuruma sio njema wala haileti maendeleo bali,aibu mafalakano, ugomvi na majuto baadae. Kama huyo bwana aliyetaka kuwadhurumu wenzake kule India.Asante sana dada yake kwa kusimama kidete.
    Asanteni.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 15, 2013

    Kina mama wa kitanzania ni wazuri mno. Na pia wanajua kuvaa vizuri, embu ona hawa kina dada walivyo wazuri na walivyopendeza wala huchoki kuwaangalia kabisa. Huwezi kuwalinganisha watanzania na watu wa mataifa mengine ya Africa ukiwa Marekani au ulaya nk. Wametulia sana na muonekano safi kama hawa kinadada. Ukibisha basi walinganishe na wakina mama wa West Africa. Mtanzania ukimuona utamjua tu jinsi walivyo wazuri. Tuzidi kudumisha mema ya nchi yetu ya Tanzania. Wanaume pendeni wake zenu eh si mnawaona hao kina dada.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 16, 2013

    Mimi natoka nchi moja jilani na tanzania na nimeowa mtanzania, safi sana.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 16, 2013

    Kina Dada Salma na Eliza mmependezana sana sana, jamani mnavutia sana! Mnaonekana wasichana wadogo kabisa. Kweli waTz visura hasa. Naona hata wakaka hao Ben na Randi wameamua kuvaa miwani ili wasionekane kama wanawaangalia sana, mwanamke uzuri. Haya kipindi kijacho mvue miwani nyie wakaka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...