Mtoa mada iliyohusu Maadili
kazini,Bwa.Alex Senzota kutoka Idara ya Usalama Kazini (GSO),akifafanua zaidi
kuhusiana na mada iliyohusu Maadili kazini na namna ya kutunza/kuepuka uvujaji wa siri za ofisi husika,mapema leo kwenye Kongamano la Tatu la Makatibu
Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) uliofanyika ndani
ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Mwenyekiti
wa Chama chama cha Makatibu Muhtasi Nchini Uganda (NASAP),Bi Edith Kutesa
Giita akifafanua jambo kuhusiana na mada mojawapo ya iliyohusu Ni namna gani
unaweza kuwa Katibu Muhtasi unaekwenda na wakati/wa kisasa,mapema leo
kwenye Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal
Secretaries Association - TAPSEA) lililofanyika ndani ya ukumbi wa
Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Mwenyekiti wa chama cha Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA),Bi Pili Mpenda akifafanua jambo mbele ya washiriki wa Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi likiendelea ndani ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha,kulia kwake ni Mwenyekiti wa Chama chama cha Makatibu Muhtasi Nchini Uganda (NASAP),Bi Edith Kutesa Giita.

Baadhi washiriki wa Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zinazojadiliwa kwenye kongamano hilo lililofanyika dani ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Mmoja wa wachangia mada kutoka chuo cha Sokoine,Bi Teddy Salum akizungumza kuhusiana na mada iliyohusu Maadili kazini na namna ya kutunza/kuepuka uvujaji wa siri za ofisi,wakati Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) likiendelea ndani ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Mmoja wa wachangia mada kutoka chuo Kikuu cha Dar- Es Salaam (UDSM),akifafanua jambo kuhusiana na mada iliyohusu Maadili kazini na namna ya kutunza/kuepuka uvujaji wa siri za ofisi,wakati Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) likiendelea ndani ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Sehemu ya washiriki wa Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zinazojadiliwa kwenye kongamano hilo lililofanyika dani ya ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...