ALBERT MBILING’I 
 MACHI 1973- MEI 2012

Mpendwa wetu Albert ‘Baba K’, ni mwaka mmoja sasa umepita tangu ulipotwaliwa siku ya Ijumaa tarehe 11/05/2012. Ni vigumu kuamini lakini tunamshukuru Mungu Mwenyezi kwa nafasi aliyotupa ya kuishi na wewe. Daima tunakukumbuka kwa upendo, ukarimu na ucheshi wako.

Unakumbukwa sana na wazazi wako Bwana na Bibi C. T. Mbiling’i, Watoto wako Irene, Humphrey, Aloyce na Doreen, Dada zako Beatrice, Getrude, Neema na Happiness, Wadogo zako Charles, Godfrey na Cathbert pamoja na ndugu jamaa na marafiki.

Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele, upumzike kwa amani Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2013

    R.I.P kaka you will be missed.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...