Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo (kushoto) akiwania mpira na beki wa Ruvu Shooting,  Shaban Suzan katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Simba ilishinda 3-1. (Picha na Habari Mseto Blog)
Mshambuliaji wa Simba, Amri kihemba akimtoka beki wa Ruvu Shooting
Kocha Mkuu wa Simba akiteta jambo na beki wa timu hiyo, Shomari Kapombe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2013

    Makocha wazee sasa Ughaibuni kazi hawapati maana mbinu zao zimeshapitiwa na wakati. ManU wanabebwa ndio maana kocha wao mzee msije mkatoa mfano huo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2013

    nyoo man u wanabebwa na wewe nenda ka bebwe.. na wenger naye mzee full kudoda!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...