Home
Unlabelled
madereva wenye akili nyingi kuliko wenzao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi barabara ya kutokea mwenge hadi tegeta nidhamu itarudi lini? maana ukiangalia chanzo cha msongamano ni watu kukosa ustaarabu na "kutanua" kitu kinachosababisha foleni isiyo na ulazima..hasa wenzetu wenye daladala ndio kabisa yani utafikiri wana sheria zao. Pia maeneo ya jeshini lugalo ndio kabisa maana nakumbuka kipindi cha nyuma pale watu ndio walikuwa wakipita tena kwa nidhamu ya hali ya juu lakini leo hii watu hufikia hatua ya kutanua hata kama kuna MP . Mimi rai yangu ni kwa wenzetu wa jeshi kutoa mfano pale kwa wavunjaji sheria na wanaodharau mamlaka za jeshi ili iwe mfano kwa wengine maana wengine huaribu hata miundo mbinu ya jeshi na kuleta usumbufu usio wa lazima.
ReplyDeleteNatumai wahusika na sheria za usalama barabarani wanapitia katika mtandao huu na hatua kali watachukua dhidi ya hawa wavunja sheria. Naomba usichoke kuanika uovu huu katika mtandao na kuhimiza waandishi wengine waige mfano wako. Sio katika mitandao tu, uovu huu wa barabarani uwekwe pia katika magazeti. Labda wakiona wanaanikwa hadharani watakoma. Namba zao za magari ziandikwe pia.
ReplyDeleteHERI KUTEMBEA KWA MGUU UTAFIKA MAPEMA.
ReplyDeleteUbinafsi, kufuata sheria bila shuruti. Hii foleni ya chini wengi ni wastaarabu, lakini picha za juu nkuna wakororofi wasio wastaarabu, wanatanua! na wanajiona wajanja wakati wao wamechelewa kuamka lakini wanataka wawapite waliowahi kuamka, hapana, wadhibitiwe mahayawani hao.
ReplyDelete