Mmoja wa wanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma akichangia mada wakati wa uwasilishwaji wa mada ya manufaa ya mfuko wa Pensheni wa PSPF
 Afisa Mfawidhi wa PSPF akisisitiza jambo wakati akiwasilisha mada katika Semina hiyo kwa wanafunzi wa UDOM
 Afisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF mkoa wa Dodoma Rahim Hashim akitoa elimu kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo kikuu cha Dodoma kuhusu Mfuko na fursa zinazopatikana ukijiunga na Mfuko wa PSPF.
Sehemu ya washiriki wa semina kuhusu Mfuko wa PSPF iliyofanyika katika chuo kiuu cha Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...