Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy (katikati ) akielezea namna Wizara inavyowasaidia wanawake kujiinua Kiuchumi na Kijamii,wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Kuwainua Wanawake Kiuchumi na Kijamii,Mradi unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la CONCERN Tanzania katika Mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu,Kigoma na Masasi. Mradi huo Unafadhiliwa na European Union, Umezinduliwa leo jijini Dra es Salaam Kushoto kwake ni .Balozi wa EU nchini Mhe.Filberto Cerian Sebregondi.
Sehemu ya Wageni waliohudhuria Uzinduzi huo.
Balozi wa EU nchini Mhe. Filberto Cerian Sebregondi (katikati) akiteta jambo na Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii(kushoto) na MKurugenzi wa Shirika la CONCERN _Tanzania Bw. James Davey.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...